Ukurasa wa kwanza
Utangulizi Chagua lugha Maswali ya ufahamu Mazoezi Zoezi dogoMaana katika sarufi Piga chapa
Tendo Majina Badala ya jina Neno la sifa Kielezi Maneno ya uhusiano Maneno unganishi Mpangilio wa maneno
Ubainisho   Kwenda sawa   Kinyume   Maneno yenye maana ndogo   Sehemu ya elekezo dhahiri   Sehemu ya mafumbo   Sehemu ya neno la sifa   Sehemu ya neno elezi    

8  Mpangilio wa maneno

8.1 Mpangilio wa maneno wa moja kwa moja

Fungu la maneno kwa kawaida ni lazima liwe na angalau masomo mawili, ambayo ni somo kamili (x) na somo la taarifa (o). Masomo haya mawili ni muhimu sana kwenye fungu la maneno, kwa sababu ndiyo yanayofanya fungu lenyewe. Somo kamili ni mtu au kitu ambacho kinatimiza tendo lenyewe kama somo la taarifa linavyoelezea (ang. Kamusi ndogo).

Mjengo wa fungu la maneno kawaida huja somo kamili mbele ya somo la taarifa. Huitwa mpangilio wa maneno wa moja kwa moja.

Manden sover.   Mwanamume amelala.
x o   x o

Han spiser.   Anakula
x o   x o

Ulinganisho:
Kwa kiswahili mpangilio wa maneno wa moja kwa moja ni sawa na wa kidenish. Kama somo kamili  ni badala ya jina la mtu,  badala ya jina linakuwa kwenye somo la taarifa.

Maswali ya ufahamu

8 Ordstilling

8.1 Ligefrem ordstilling

Sætningen skal normalt indeholde mindst to led, nemlig grundled (x) og udsagnsled (o). De to led er sætningens vigtigste led, fordi de danner selve sætningen. Et grundled er den person eller ting som udfører handlingen, som udsagnsleddet beskriver (se Minileksikon).

I almindelig sætningsbygning kommer grundleddet foran udsagns­leddet. Det kaldes ligefrem ordstilling.

Manden   sover.  
x o  

Han   spiser.        
x o        

Forståelses-spørgsmål Øvelser Sammenligninger