Ukurasa wa kwanza
Utangulizi Chagua lugha Maswali ya ufahamu Mazoezi Zoezi dogoMaana katika sarufi Piga chapa
Tendo Majina Badala ya jina Neno la sifa Kielezi Maneno ya uhusiano Maneno unganishi Mpangilio wa maneno
Ubainisho   Mwenyewe   Badala ya jina la kumiliki   Kuondosha   Kiunganishi katika sentensi   Kuuliza   Rejezea      

3  Badala ya jina

3.6 Marejeo ya badala ya jina

Marejeo ya badala ya jina ni jina ambalo huelezea nyuma kwa jina ambalo lilikuwa kabla au somo. Badala ya jina mengi ya kawaida ni som na der.

Pigen, som hedder Susanne, bor i Nygade.

Msichana ambaye anaitwa Susanne, anaishi Nygade.

Pigen, der hedder Susnne, bor i Nygade.

Msichana ambaye anaitwa Susanne, anaishi Nygade.

Som na der inaonyesha nyuma pigen. Wakati som na der ni somo kamili, ni sawa sawa tu kama kwa kutumia som au der. Kama marejeo ya badala ya jina nikitu halisi, ni lazima kutumia som.

Han spiste maden, som jeg gav ham.

Alikula chakula ambacho nilimpa.

Ulinganisho:
Kwa kiswahili marejeo ya badala ya jina hutegemeana na neno amabalo linaonyeshwa. Kwa hiyo hutegemeana na aina gani ya zile aina saba za majina, na kama ni umoja au ni kwa wingi.

Chumba ambacho tulipanga.
Vyumba ambavyo tulipanga.
Mtoto ambaye anacheza.
Watoto ambao wanacheza.

Maswali ya ufahamu

3 Stedord

3.6 Henvisende stedord

Henvisende stedord er ord, som viser tilbage til et foregående ord eller led. De mest almindelige stedord er som og der.

Pigen, som hedder Susanne, bor i Nygade.
Pigen, der hedder Susanne, bor i Nygade.

Som og der viser tilbage til pigen. Når som og der er grundled, er det lige meget om man bruger som eller der. Hvis det henvisende stedord er et genstandsled, skal man bruge som.

Han spiste maden, som jeg gav ham.

Forståelses-spørgsmål Øvelser Sammenligninger