Ukurasa wa kwanza
Utangulizi Chagua lugha Maswali ya ufahamu Mazoezi Zoezi dogoMaana katika sarufi Piga chapa
Tendo Majina Badala ya jina Neno la sifa Kielezi Maneno ya uhusiano Maneno unganishi Mpangilio wa maneno
Ubainisho   Mwenyewe   Badala ya jina la kumiliki   Kuondosha   Kiunganishi katika sentensi   Kuuliza   Rejezea      

3  Badala ya jina

3.1 Badala ya jina la mtu

Badala ya jina la mtu hutumika, wakati wa kuzungumzia mtu au kitu. Ni lazima kwenye fungu la maneno kuwe na msingi, kwa sababu tendo halitegemeani na mtu ( ang. 1. Tendo). Kama hakuna aina ya jina au jina, lazima ukumbuke kutumia badala ya jina la mtu.

Jeg kommer for sent.

Nimechelewa.

Den er stor.

Ni kubwa.

Han lærer dansk.

Anajifunza kidenish


Badala ya jina la mtu

Mtu

Umoja

Wingi

Mtu 1.

mimi

sisi

Mtu 2.

wewe

ninyi

Mtu 3.

yeye

wao

De hutumika kama jina la heshima. Inaandikwa kwa herufi kubwa D kwa mtu 2. kwenye umoja na I kwa mtu 2. kwenye wingi pia huandikwa kwa herufi kubwa.

Ulinganinsho:
Kwa kiswahili hakuna haja ya kuwa na badala ya jina la mtu kwenye fungu la maneno, kwa sababu badala ya jina linakuwa kwenye tendo. Hakuna den na det kwa kiswahili na kuna neno moja tu linalotumika kwa hans na hendes.

Maswali ya ufahamu

3 Stedord

3.1 Personlige stedord

Personlige stedord bruges, når man fortæller om personer eller ting. Det er nødvendigt med et grundled i sætningen, fordi udsagnsord ikke bøjes i personer (se 1. Udsagnsord). Hvis der ikke er et navne­ord eller et navn, skal man huske at bruge et personligt stedord.

Jeg kommer for sent.
Den er stor.
Han lærer dansk.

Personlige stedord

Person

Ental

Flertal

1. person

jeg

vi

2. person

du

I

3. person

han, hun, den, det

de

De bruger man, når man er høflig. Det skrives altid med stort D i 2. person ental. I i 2. person flertal skrives også med stort.

Forståelses-spørgsmål Øvelser Sammenligninger