8  Mpangilio wa maneno

8.5 Mpangilio wa maneno kwenye fungu la maneno na kitu kwa fumbo

Kitu kwa  fumbo () ni kitu kwenye fungu la maneno kwa nani kitu kinafanyika. Kunakuwa na kitu kwa fumbo tu, kama kuna kitu halisi  kwenye fungu la maneno. Kitu kwa fumbo husimama baada ya somo kamili (x) na somo la taarifa  (o) na mbele ya kitu halisi (∆) kwenye fungu la maneno na mpangilio wa maneno wa moja kwa moja. Kwa kutia mkazo, kitu kwa fumbo husimama kwanza kwenye fungu la maneno na huwa ni mpangilio wa maneno kwa upinduaji.

Mpangilio wa maneno wa moja kwa moja:

Jeg giver ham en bog.   Ninampa kitabu.
x o    

Mpangilio wa maneno kwa upinduaji:

Ham giver jeg en bog.   Ni  yeye niampa kitabu.
o x      

Ulinganisho:
Wakati kuna kitu kwa fumbo kwenye fungu la maneno kwa kiswahili huongezea silabi katikati ya tendo (ang. 3.4).
Kwa kuonyesha kitu kwa fumbo ni lazima iandikwe kwa mfano:

ni yeye
ni wewe

Maswali ya ufahamu